Wednesday, November 15, 2006

SIKU CHACHE BAADA YA DITOPILE KUTUHUMIWA KUUA!



Kumekuwa na mizaha ya kila aina mara baada ya tukio la mauaji ya dereva wa daladala Hassan Mbonde yaliyofanywa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Bw. Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, ona hii sasa... Eti ndo alama mpya ya barabarani!

1 Comments:

Anonymous Anonymous said...

Vipi hiyo kesi ya Ditopile imeishia wapi

1:51 PM  

Post a Comment

<< Home