Tuesday, December 12, 2006

Banza Stone katika Uzinduzi!



Mwanamuziki nguli wa bendi ya African Stars Twanga Chipolopolo Ramadhani Masanja au Banza Stone akiingia ndani ya Ukumbi wa Diamond Jubilee katika onesho la Uzinduzi wa albamu ya bendi hiyo inayokwenda kwa jina la Hujafa Hujasifiwa!

0 Comments:

Post a Comment

<< Home