Friday, November 24, 2006

Viwanja vya Disko Siku hizi Kibao!


Siku hizi 'viwanja' vya disko vimekuwa vingi sana Bongo tofauti na zamani, Kuna JJ Club, Bar One, Garden Bistro, Arabella na vingine kibao, kila wikiendi ni kuruka kwanja kwa kwenda mbele... Zamani ilikuwa Billz sijui na Mambo Club, mtanisaidia zaidi wadau!
Hiyo hapo pichani ni kiwanja cha Garden Bistro kiko mitaa ya Masaki!

0 Comments:

Post a Comment

<< Home