Thursday, November 23, 2006

Ray C Anakuja na Albamu ya Pili!


Mtoto wa kike Rehema Chalamila au Ray C, aliwahi kuvuma sana redioni akiwa mtangazaji wa East Africa Radio (Radio One Channel three)na baadaye Clouds FM amenitumia Email ya kunihabarisha kuwa albamu yake imeshaiva, hivyo anatarajia kuitoa siku si nyingi!

Hebu nawe icheki barua pepe yake hapa chini...
Mambo vipi? Albamu yangu ina nyimbo kumi na moja nakutajia baadhi ya majina...

Tabasamu lako (REGGAE)
Wawili (ZOUK)
Siangalii nyuma feat Dgritty mdogo wake Loon
Nilikutamani feat TID
Mapenzi ya kweli
Kama wanipenda feat Pfunk
Sogea Sogea
Sogea sogea remix
Sugadaddy
Kwa ajili yako feat Nako 2 Nako
Niacheni

Album itatoka mwezi ujao mwanzoni, nimerekodi studio tofauti ambazo ni Metro Studio, Mandugu Digital na Bongo Records!

1 Comments:

Blogger luihamu said...

Kaka Gallus tutembeleane mara kwa mara,rastafarian inamambo kibao ya kweli,kweli.

6:25 PM  

Post a Comment

<< Home