Monday, December 04, 2006

Haya kula Keki Amina!


Mheshimiwa Mbunge wa Viti maalum (CCM) Amina Chifupa Mpakanjia akilishwa keki na mumewe Mohamed Mpakanjia kwenye sherehe ya kumbukumbu ya miaka sita ya ndoa yao na miaka mitano ya mtoto wao Rahman Mpakanjia! Sherehe hiyo ilifanyika nyumbani kwao Sinza jijini Dar.

0 Comments:

Post a Comment

<< Home