Tuesday, December 12, 2006

Banza awajibika jukwaani!



Mwanamuziki Banza Stone akiwajibika jukwaani sambamba na mwanamuziki mwingine wa bendi ya African Stars au Twanga Chipolopolo, Angelo walipozindua albamu yao ya Hujafa Hujasifiwa kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee Jumamosi Desemba 8, 2006

0 Comments:

Post a Comment

<< Home