Wednesday, December 20, 2006

Mawaziri Lowassa na Sumari!


Waziri Mkuu Lowassa na Naibu Waziri wa Kazi Jeremia Sumari wakiwa na wake zao wakisubiri kumpokea Rais Kikwete katika ukumbi wa Ubungo Plaza kulikofanyika sherehe ya harusi ya watoto zao, Pamela na Sioi!

0 Comments:

Post a Comment

<< Home