Wednesday, December 20, 2006

Rais Kikwete Harusini!


Rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akiingia katika ukumbi wa Ubungo Plaza katika sherehe ya harusi ya watoto wa Mawaziri katika serikali yake yake.
Watoto hao wa Waziri Mkuu Edward Lowassa (Pamela)na Naibu Waziri wa Kazi Jeremia Sumari (Sioi)walifunga ndoa Jumamosi iliyopita Desemba 16, 2006! Mungu aijaalie ndoa yao idumu milele!

0 Comments:

Post a Comment

<< Home